Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, February 10, 2012

Chimba dawa

Muhindi alipigwa faini ya 1,000Tsh kwa kukojoa kichochoroni. Yeye akalipa 1,500Tsh. Akaulizwa mbona kalipa zaidi akajibu "wakati makojoa iko jamba kodogo"

No comments:

Post a Comment