Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 15, 2012

Masikio vipi?

Jamaa alienda kazini masikio yote yakiwa yamefungwa plasta.
Boss: Vipi masikio mbona ivo?
Jamaa: Nlikua napiga pasi then simu ikaita, nkapokea kumbe ilikuwa pasi.
Boss: Na hilo sikio la pili je?
Jamaa: Nilikua nataka mpigia dokta, pasi tena ikanichoma.

No comments:

Post a Comment