Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, February 22, 2012

Disco

Marafiki wawili walienda disco maongezi yao yalikua hivi.
Mshkaji 1: Ee we vipi tangu umekuja hauchezi hata nyimbo moja vipi?
Mshkaji 2: Kuna nyimbo naipenda sana halafu haichezwi mpaka muda huu...
Mshkaji 1: Mwimbo gani huo?
Mshkaji 2: Si wimbo wa taifa.

No comments:

Post a Comment