Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 3, 2010

Kama fumanizi.

Mwanaume mmoja akiongea ''nilimuandikia mke wangu email kuwa ntarudi siku moja kabla, nimefika nyumbani nimemkuta na mwanaume best yangu kitandani.''

Rafiki yake akamjibu, ''labda hakuiona email.''

Majaribio...

Jamaa mmoja alitengeneza sumu. Sasa akawa anatafuta pa kuijaribia. Akaenda kwa mbwa wake na kumuekea aionje kama ni kali au la...
Mbwa wake akamjibu ''we vipi? Mi naoa mwezi ujao allah.''

Rangi ya Harusi

Mtoto mmoja aihudhuria harusi kwa mara ya kwanza, akauliza "mama kwanini bi. harusi amevaa rangi nyeupe?" Mama yake akamjibu na kumuambia "rangi nyeupe ni rangi ya furaha na leo ni siku yake ya furaha"

Mtoto akakaa kimya kwa muda na kuuliza tena "Mbona bwana harusi kavaa rangi nyeusi?"

Sumu ya nyoka

Jamaa mmoja aligongwa na nyoka. Kwa vile palikuwa mbali kidogo na hospitali. Akachukua hatua ya kwenda uku anakimbia.
Alipofika hospitali akakuta dokta anazalisha.

"siwezi kuacha hii kazi kwanza. Fanya hivi, nenda kakate sehemu husika alama ya x halafu inyonye sumu yote itoke.'' Dokta alimuambia.

Jamaa mbio mbia mpaka eneo la tukio, alipofika yule mwenzake akuliza ''dokta amesemaje?''
Jamaa alieenda hospitali akamjibu, ''dokta kasema unakufa tu.''

Hewani

Kwenye ndege moja abiria wakiwemo iliruka na baadae rubani akawa anatangaza kuhusu hali ya hewa ilivyo njema nk nk. Baada ya kutangaza akasahau kuiweka off mic aliyokiitumia na kufanya maongezi yao wao ma-pilot kusikika kwa abiria wote ndegeni.

Maongezi yao yallikuwa hivi "aisee ingawa ni one hour tangu tumeacha ardhi nimegundua kuwa geji ipo karibu na emptyi ilikuwa full"
Mwenzake akamjibu: "si nilisahau kufunga mfuniko wa tank la mafuta baada ya kupiga chakachua (kuiba mafuta ya deal).
"Sasa tunafanyaje?" wa kwanza aliuliza. Wa pili akajibu "Ngoja tuwaulize abiria kama kuna mtu ana mafuta ya akiba?"

Ngo-ngo-ngo

Jamaa mmoja alisikia mlango unagongwa...
Alipoenda kufungua akakuta panya mlangoni. Akamchukua na kumtupia mbali.
Wiki moja baadae akasikia mlango unagongwa. Akaenda fungua akakuta panya tena. Yule panya akamuuliza ''za tangu siku ile?''

Ahera

Jamaa alikufa akaenda ahera, huko akakutana na shetani, akamuambia "huku kuna vyumba vitatu, unatakiwa kuchagua kimoja ndio kitakuwa unaishi humo"
Jamaa akakubali na kwenda:

Chumba cha kwanza: Akakuta watu wamelala juu ya kitanda cha miba. Akasema "hapana ngoja niangalia chumba kingine"
Chumba cha pili: Akakuta watu wanaogelea kwenye maji machafu. Jamaa akakataa tena.
Chumba cha tatu: Akakuta watu wamekaa wanapata kahawa. Akasema "hiki ndio kinanifaa" akaingia.

Baada ya dakika chache akaja mtu na kuwa tangazia "haya mapumziko ya kahawa yameisha "kila mtu arudi kwenye kiti chake nyoka mmoja mmoja anapita kuwagonga"

Monday, August 2, 2010

Pingu

Mtoto mmoja wa miaka mitano siku ya harusi ya wazazi wake aliposikia neno hili ''...pingu za maisha...''

Siku chache kabla ya harusi akamuuliza mama yake, "mama we na baba nnataka funga pingu za maisha?"
Mama yake akajibu ndio.
Mtoto akaendelea, "sasa mi ntabaki na nani mkifungwa pingu?''

Siku ya mtihani

Mwanafunzi mmoja baada ya zile dakika tano za mwanzo za mtihani, baada ya kuona hali ishakuwa tete akamuambia msimamizi huku akimnong'oneza ''samahani nimesahau ki-boom changu bwenini, naomba kwenda mara moja.''

Mwanafunzi na mwalimu

Mwalimu mmoja wakati akifundisha darasani alimuona mwanafunzi mmoja amesimama akamuuliza, ''wewe una matatizo gani? Mbona umesimama?''

Mwanafunzi akajibu, ''nimeona umesimama peke yako mda wote nakusaidia...''

Saturday, July 31, 2010

Alarm

Kuna jamaa mmoja alipoisikia alarm ya gari fulani inapiga kelele, akawa anatembea huku akipepesha mikono yake juu kama kwaya masta anapoongoza nyimbo fulani ya kwaya.

Vizee

Kulikuwa na vibibi viwili vizee wakiongea, mmoja akamuambia mwenzake "siku hizi nnasahau sana, jana nilisimama kwenye ngazi nikawa sikumbiki kama nilikuwa nataka kushuka au kupanda?"

Wa pili nae akamuambia mwenzake, "mimi nilikaa kwenye kitanda nkawa sikumbuki kama nataka kulala au ndio nimeamka"

Wa tatu akawaambia wenzake, "Loh, mimi ndio sijielewei kabisa, juzi nilikuwa bafuni na ndoo ya maji nikawa sikumbuki kuwa ndio nataka kuoga au ndio nimemaliza tayari"

Friday, July 30, 2010

Besdei

Vizee viwili mke na mume siku moja wakati wapo mezani, mke akamuambia muwewe.
''tutoe nguo zote tule chakula bila kubanwa banwa.

Wakati wanakula mke akalalamika ''mh! nimeanza sikia joto ghafla.''
Ndipo mume akajibu ''ni kwa sababu titi zipo kwenye bakuli la supu.''

Thursday, July 29, 2010

Siku ya harusi

Mwanaume mmoja alikuwa na ugonjwa wa kusahau sahau sana, siku moja wakati yupo nyumbani anafua nguo zake na usafi kwa ujumla, ghafla akaingia mwanamke akiwa amefyumu ile mbaya. Kumbe alikuwa ni bibi harusi ndani ya vazi lake tayari, na huyo aliemkuta akifanya usafi ndio mume mtarajiwa, hakuonekana kanisani.

Uelewa huu?

Jamaa mmoja alipofika maeneo fulani fulani ya uzunguni akakuta kibao kimeandikwa "Amri hairuhusiwi kutembea eneo hili" yule kaka pamoja si akaamua kutambaa mpaka alipolimaliza hilo eneo...

Ndege pori

Eti wale ndege pori wanaopenda kula mizoga baada ya simbana wengineo kumaliza kula, na wao walipata kamzoga mpaka mwisho wa siku wakatosheka na kuwepo tu pembeni palipo huo mzoga. Ndipo akaja ndege mwenzao na wakamuambia "usitulaumu kuchelewa kwako, sie tushakula ukikikuta cha baridi hilo halitu-husu"

Shoga

Shoga mmoja mwanajeshi wakati yupo vitani akawa anabishana na mwanajeshi mwenzake, "we vipi unazubaa zubaa nini m-shoot huyo adui anazidi kuja karibu yetu?"
Ndipo yule shoga akamjibu "we humuoni alivyo mzuri vile, mi siwezi"

Kwa dokta

Mama mmoja aliporudi nyumbani akawa anaongea mawili matatu na mumewe, kidogo anaingia mtoto wao wa kike. Wakamuuliza "enhe za hospitali? Daktari anasemaje?"
Mtoto kwa nafasi nae akawa anajibu, "majibu mazuri tu, ila nimesahau chupi yangu kwa dokta" wazazi walitizamana...

Kwenye computer

Kibosile mmoja alimpigia secretary wake simu "mbona hujanijibu e-mail yangu mpaka sasa?"
Secretary akajibu, "boss nimeisoma ila nimeshindwa kuijibu, nipo nyumbani bado na kibaya ni kwamba paka wangu ameimeza "mouse"

Tembo

Kijana mmoja alikuwa na tembo wake mdogo akimfuga, siku moja wakati wapo matembezini jamaa akafungua zipu yake na kujisaidia haja ndogo, nipo tembo wake akamuuliza "unawezaje kupumua na huo mkonga wako?"

Harusi

Siku ya harusi bibi harusi alipofika kanisani akiwa ameshavalia gauni la harusi nk, kidogo anamuona mumewe mtarajiwa anatoka na bibi harusi mwingine amevaa kama yeye wakiwa tayari wamefunga ndoa. Bibi harusi wa kwanza akabaki kwenye mshangao asielewe kinachoendelea, ndipo mumewe mtarajiwa akamuuliza huyu wa awali, "Hukupata e-mail yangu?"

Simu haionekani

Mwanaume mmoja siku moja wakati yupo kwake ghafla akawa anasikia simu inaita halafu haioni, akaanza mlaumu mkewe " muone kwanza ushaificha simu yangu, mbona siioni na inaita?"

Mke akamuangalia na kumjibu; "una uhakika?"
Mume: Ndio
Mke akaenda akamfunua kitambi jamaa akaiona simu imejificha katikati ya nyama.
Mume akawa mdogo kama amemwagiwa maji ya baridi.

Wednesday, July 28, 2010

Mtoto huyu

Mtoto wa miaka 6 wa kike alienda sebuleni alipomkuta mama yake ameketi na baba yake.

Akasema, ''baba kondom yangu imepasuka una ingine ya akiba?'' mtoto alinena.
Mama nae kimoyo moyo akanena (mungu wangu mtoto huyu ameanza lini?)

Mama akauliza vizuri, ''imepasuka!? Umeipata wapi?''
Mtoto: Meipata kwenye suruali ya baba, nilikua naichezea...

Tuesday, July 27, 2010

Pancha

Baba mmoja alimuacha mwanae kwenye gari kwa muda. Punde kidogo mtoto akasikia kama gari inatikisika, kuchungulia akamuona kibaka ameinama kwenye tairi.

Mtoto akamuuliza yule kibaka, ''unafanya nini kwenye gari ya baba?''
Kibaka kujihami akajibu, ''baba yako kanituma nije kuziba pancha.'' Mtoto akasema 'oh okey'

Baba aliporudi akauliza, ''imekuwaje hamna matairi?'' mtoto ndipo akajibu, 'alikuja mtu akasema anaenda kuziba pancha ndo nkamuambia achukue yote manne akazibe asichelewe sana.''

Pancha

Baba mmoja alimuacha mwanae kwenye gari kwa muda. Punde kidogo mtoto akasikia kama gari inatikisika, kuchungulia akamuona kibaka ameinama kwenye tairi.

Mtoto akamuuliza yule kibaka, ''unafanya nini kwenye gari ya baba?''
Kibaka kujihami akajibu, ''baba yako kanituma nije kuziba pancha.'' Mtoto akasema 'oh okey'

Baba aliporudi akauliza, ''imekuwaje hamna matairi?'' mtoto ndipo akajibu, 'alikuja mtu akasema anaenda kuziba pancha ndo nkamuambia achukue yote manne akazibe asichelewe sana.''

Iki...

Mtoto mmoja alikua akimsikia baba yake usiku mara kwa mara akimwambia mama yake, ''ikisimama panda''

Siku moja akamuuliza mama yake, ''mama humu ndani kwetu kuna daladala usiku? Nasikiaga baba anakuambiaga ikisimama panda.''

Juice

Kijana mmoja alitengeneza juice ya mananasi. Alipomaliza kuitengeneza akagundua kuwa maji aliyotumia hakuyachemsha. Akawasha jiko na kuiweka juice yote kwenye sufuria na kuanza kuichemsha.

Monday, July 26, 2010

Ufugaji kisasa

Jamaa mmoja mfugaji aliamua kuwa mfugaji wa kisasa. Hivyo basi akanunua mashine ya kukamulia maziwa ya ng'ombe.

Siku moja mkewe alipotoka akaenda kuijaribu kwa kuchomeka uume wake pale, akaiwasha ikampa matokeo ya kuridhisha.

Alipomaliza akawa anataka kuizima, kila akitafuta hapaoni. Akapiga simu kwa supplier kuomba msaada. ''halo... nimeunua mashine.... ni nzuri sana... je unaichomoaje toka kwenye chuchu za ng'ombe?''

Supplier akamjibu, ''oh, hiyo ipo automatic inajizima baada ya kupata galoni mbili za maziwa.''

Mama kujifungua

Dokta mmoja alipata dharura. Akaenda alipopigiwa simu, kufika akakuta mama mjamzito akikaribia kujifungua.

Hapakuwa na mtu hapo nyumbani zaidi ya huyo mama na mtoto, na umeme ulikatika. Dokta wakati anashughulika kuzalisha akamuomba yule mtoto wa miaka 6 amsaidie kumulika na tochi.

Baada ya mama kujifungua dokta akamuuliza mtoto, ''unasemaje kuhusu mtoto?''
Kale katoto ka miaka 6 kakajibu, ''mfinye akome, aliingia kufanya nini humo?''

Mtoto alipoona

Siku moja mtoto alimuona mama yake akiwa karibu kujifungua. Alipoona nywele akauliza.

Mtoto: Mama, nini hiyo katikati ya miguu yako?
(Akimaanisha nywele)
Mama: (Akamjibu kwa mshangao) ni brush ya kufulia nguo.

Baada ya muda dokta alizinyoa zote.
Mtoto aliporudi akauliza tena, ''brush imeenda wapi mama?''
Mama akajibu, ''nimeipoteza mwanangu.

Siku chache mtoto akamfuata mama yake, ''mama.. mama njoo, nimeiona brush yako anayo house girl anamsafishia baba uso..."