Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 2, 2010

Mwanafunzi na mwalimu

Mwalimu mmoja wakati akifundisha darasani alimuona mwanafunzi mmoja amesimama akamuuliza, ''wewe una matatizo gani? Mbona umesimama?''

Mwanafunzi akajibu, ''nimeona umesimama peke yako mda wote nakusaidia...''

No comments:

Post a Comment