Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 29, 2010

Kidole gumba

Jamaa kidole gumba kilikua kinamsumbua, akaenda kwa dokta. Alipofika nesi akamuambia avue nguo kisha aingie chumba cha kusubiria kumuona daktari.

Jamaa akasema "yani kidole gumba tu ndo nivue nguo zote?"
Nesi akajibu, "hiyo ndio sera ya hospitali yetu."

Jamaa chumba cha pili akadakia, "hiyo sio kitu mi nimekuja kutengeneza simu."

No comments:

Post a Comment