Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 22, 2010

Na mama yake

Mtoto: Mama kwa nini mmeachana na baba?
Mama: Mwanangu hilo sipendi lizungumzia....

Siku chache baadae katoto baada ya pekua pekua akaona taharifa kadhaa kwenye kitambulisho cha mama yake. Siku ya pili akamfuata mama yake.

Mtoto: Mama najua kwa nini umeachana na baba?
Mama: Ee!! Umejuaje?
Mtoto: Kwa sababu una F kwenye Sex nimeona kwenye kitambulisho.

No comments:

Post a Comment