Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 22, 2010

Swali tamu

Mwalimu aliuliza swali wanafunzi wa chekechea wakawa wanajibu.

Mwalimu: Sehemu gani ya mwili mtu akifa inaenda mbinguni?
Mwanafunzi 1: Roho ndio inaenda.
Mwanafunzi 2: Moyo.
Mwanafunzi 3: Miguu.

Mh! Mwalimu alistuka akauliza "enhe kwa nini miguu?"

Mwanafunzi wa 3 akajibu "jana nliona mama kanyoosha miguu juu uku akisema "oh God am coming... Huku baba kamlalia juu asiende"

No comments:

Post a Comment