Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 27, 2010

Dawa ya...

Jamaa mmoja mweupe wa ngozi alienda kwa dokta. Akamuambia dokta "dokta nna kiji-alama kekundu kwenye ngozi, sivi ni nini?

Dokta akampa dawa akapake nyumbani.
Kesho yake aliporudi akamuambia dokta, "kile kidoa kimeishia kabisa, ni dawa gani umenipa?"

Dokta akajibu " ni lipstic remover"

No comments:

Post a Comment