Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Makaburini

Mama mmoja na mwanae wakipita pembezoni mwa makaburi, mama akasoma maandishi kwenye kaburi moja kisha akajisemea kwa masikitiko "maskini alikuwa DAKTARI na MUWAZI tu.

Mtoto nae akasoma kisha akamuuliza mama yake "mama kwanini wamewazika wawili sasa?"

No comments:

Post a Comment