Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 23, 2010

Shabaha

Mijamaa miwili ilikuwa inatoka kuwinda, mmoja akamwambia mwenzake "aisee naiona nyumba yako tokea hapa nlipo, halafu mkeo yupo na njemba ndani." (kwa darubini ya bunduki).

Mwenye mke akajibu "enh!!? Mshuti mke wangu kichwani, na hilo lijamaa sehemu za siri."
Jamaa akajibu "ooh, hiyo rahisi. Risasi moja tu itapiga sehemu zote hizo."

No comments:

Post a Comment