Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 28, 2010

Namba ya simu

Juma: Jamaa amekupa namba?
Ali: Ndio na nsham-beep.
Juma: Hebu ni hiyo namba.
Baada ya kupewa akanena.
Juma: Wee! Ume-beep landline?

No comments:

Post a Comment