Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Kibosile akifa

Boss mmoja hospitalini hoi kitandani, alimuita mwanasheria wake, daktari na mchungaji.
Akawaambia "hapa nna dola elfu90 chini ya mto. Nimeziweka kwenye bahasha dola elfu 30 tatu. Nataka nikifa kabla hawajatupia udongu mzirushie kaburini."

Wakaitikia "sawa, haina shida"

Baada ya mazishi:
Mchungaji: Acha niseme ukweli nimechukua dola elfu10 tu kwa ajili ya ujezi wa kanisa ingine kama marehemu alivyoagiza.

Dokta: Mie nimechukua dola elfu15 tu ingine kama marehemu alivyosema.

Mwanasheria: Mie niliziweka kwenye akaunti yangu, nikaandika cheque na kuiweka kwenye bahasha nkafanya kama marehemu alivyosema...

No comments:

Post a Comment