Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Ndio|Hapana

Kwenye mtihani wenye majibu Ndio|Hapana
Msimamizi mmoja alimfuata mwanafunzi wakati anasimamia mtihani akamuuliza "mbona unarusha rusha hiyo sarafu ya sh 100?"
M'funzi: Nahakiki kama majibu nlojaza ni sahii.

No comments:

Post a Comment