Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 25, 2010

Sumu

Baba alikua ana wivu kwa mwanae mchanga anavyonyonya hivyo akaweka sumu kwenye chuchu za mke wake. Siku iliyofuata wakakuta dereva wao akafa kwa sumu.

No comments:

Post a Comment