Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 24, 2010

Maji

Mtoto mmoja asubuhi moja alimsikia dad yake akimuambia kaka yake mkubwa akajaze maji kwenye gari.

Basi muda ulipofika baba kufika kwenye gari akauliza "nani amejaza maji kwenye gari?"
Katoto kakajibu "ni mimi baba"

Baba: Niliposema kaka yako akajaze maji sikumaanisha ndani ya gari, ona viti, kapeti vyote maji tupu.

No comments:

Post a Comment