Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, August 23, 2010

Pombe bwana

Mwanaume mmoja aliopoa mwanamke huku akiwa amelewa, na huyo mwanamke kalewa pia.

Walipofika nyumbani kwa jamaa, mwanamke akachukua kioo na kujiangalia kisha akasema "huyu kwenye frame ya picha ni mkeo? Mbona anarembua kama kalewa pombe?"

Jamaa akakichukua kioo, kuangalia akajibu "yupi huyu? Frame hii ni mimi enhe chukua uangalie tena..."

No comments:

Post a Comment