Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 28, 2010

Tanzanite

Marafiki wawili wakiongea.
J: Hatujaonana siku nyingi sana.
H: Kweli kabisa, unashughulika wapi siku hizi?
J: Nipo na mradi wa Tanzanite. Wewe je?
Mwenzake ili aonekane yupo juu kimaisha akajibu.
H: Ooh! Mimi nipo kwenye mradi wa Mbeyanite.

No comments:

Post a Comment