Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, August 29, 2010

Maneno mengi

Wakati jamaa mmoja anakula akawa anamsimulia mwenzake, "nimekutana na huyu mmoja asubuhi hii, mara moja alianza nitukana na kunitishia nk nk"

Msimuliwaji akauliza, "kwani mmekutanaje na huyo mtu?"
Akajibiwa "nimekutana nae kwenye ajali, nilimgonga na gari bahati mbaya"

No comments:

Post a Comment