Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Siku ya hukumu

Mchunga alikuwa anahubiri kanisani akasema 'siku ya mwisho (hukumu) watu watalia na kusaga meno ndipo walipoinuka kibogoyo na bubu wakasema sisi tumesevu kwenye hukumu.

No comments:

Post a Comment