Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 20, 2010

Kuchora mbwa

Kwenye kipindi cha sanaa wanafunzi waliambiwa wachore mbwa kafungwa kamba...

Baada ya muda mtoto mmoja akawa anatoka nje. Mwalimu akamuuliza "wapi unaenda?"
Mwanafunzi akajibu "namtafuta mbwa imebaki kamba tu nliyoichora, itakuwa amekata"

No comments:

Post a Comment