Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Toto tundu

Mtoto mmoja alikua anaitwa Happy, na dada wa kazi za ndani nae anaitwa Happy. Sasa siku moja mama yake mtoto akamuambia mwanae Happy amuite dada aje...

Kwa vile alikuwa mbali kidogo yule mtoto ilimbidi aite kwa sauti kubwa kidogo "H.a.p.p.y!... Haaappy..." kituko ni pale alipokua akiita na yeye muitaji anaitika.

Mama yake akamuuliza "sasa mbona unaitika we mwenyewe tena?"
Mtoto akajibu "kwani na mimi si jina langu Happy?"

No comments:

Post a Comment