Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 21, 2010

Vekesheni

Jamaa alienda vekeshe na mkewe. Bahati mbaya akafia wakati wapo vekesheni Jerusalem.

Akaambiwa kumsafirisha mpaka nchini mwao ni dola 3000, wakimzika Jerusalem ni dola 300 tu.

Jamaa akakataa kumzika pale pa dola 300 huku akisema "hapo zamani sana alikufa akafufuka baadae, mi sipo tayari mke wangu afufuke."

No comments:

Post a Comment