Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 28, 2010

Meli kuzama

Meli moja ilikuwa inazama, watu wakaanza kupiga kelele "meli inazama... meli inazama..."
Jamaa mmoja akasema "kwani ni umbali gani toka hapa mpaka kwenye ardhi?"

Akajibiwa, "kilomita 2"
Jamaa akasema, "sasa hao wanapiga kelele za nini kumbe ni hapo tu?"
Akajitosa kuanza kuogelea kidogo akauliza huku akiwa kwenye maji, "ni upande gani ilipo ardhi?"

Akajibiwa, "kwenda chini" (chini ya maji).

No comments:

Post a Comment