Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 20, 2010

Naomba maji

Mtoto mmoja alipoenda kulala mara ghafla akaita... ''baabaa... naomba maji ya kunywa"

Baba akajibu, "lala bwana utakojoa kitandani."

Dakika chache baadae mtoto akasema vile vile tena. Baba nae akajibu vilele.

Awamu ya tatu mtoto akaomba tena na baba akajibu "sasa ntakuja na kiboko nikuchape, mbona hunielewi"
Mtoto akajibu "baba ukija na hiyo fimbo njoo na maji ya kunywa"

No comments:

Post a Comment