Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 24, 2010

Tafuta gari

Mlevi mmoja alilewa chakari, akawa yupo yalipopaki magari. Akawa anatafuta gari lake huku akigusagusa ama kupapasa karibu kila gari asilitambue la kwake.

Jamaa mmoja akamkuta na kumuuliza "unafanya nini?"
Mlevi: Natafuta gari langu.
Jamaa: Sasa ndo utalijuaje kama ndio lako?
Mlevi: Lenyewe ambulance.

No comments:

Post a Comment