Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, August 28, 2010

Mwanamziki kwenye TV

Jamaa mmoja alimuona mwanamziki kwenye tv moja akiimba. Baada ya masaa kadhaa akatoka na rafiki yake wakaenda kumtembelea mtu.

Walipofika kwenye tv channel ingine tofauti na home kwake akamuona mwanamziki yule yule akamuuliza mwenzake kwa kunong'ona "huyu mwanamziki huku kafika saa ngapi? Me si nlimuacha kwenye tv ya home."

No comments:

Post a Comment