Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 20, 2010

Hii kutoka kwa...

Kichekesho hiki nlikisoma siku nyingi toka kwa cartoonist fadhil (jina la pili limenitoka)

Jamaa alienda kwa daktari wake alipofika akamuuliza dokta wake ''dokta! Hivi ile dawa ya kupaka uliniambia ninywe mara ngapi?"

No comments:

Post a Comment