Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 20, 2010

Mgonjwa kwa dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja unibadilishie dawa.
Dokta: Dawa? Kivipi? Sijaelewa.
Mgonjwa: Mi naumwa kichwa ila dawa uliyonipa mbona nikimeza inaenda tumboni badala ya kichwani?

No comments:

Post a Comment