Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Simu haionekani

Mwanaume mmoja siku moja wakati yupo kwake ghafla akawa anasikia simu inaita halafu haioni, akaanza mlaumu mkewe " muone kwanza ushaificha simu yangu, mbona siioni na inaita?"

Mke akamuangalia na kumjibu; "una uhakika?"
Mume: Ndio
Mke akaenda akamfunua kitambi jamaa akaiona simu imejificha katikati ya nyama.
Mume akawa mdogo kama amemwagiwa maji ya baridi.

No comments:

Post a Comment