Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Ndege na msafiri

Jamaa mmoja alikuwa anategemea kupanda ndege kwa mara kwanza. Alikuwa na rafiki yake akamuambia, ''eti Joseph kwani kuna haja ya kwenda mpaka airport? Si zinapitaga hapa juu? Tutapandia hapa hapa si lazima mpaka kule.''

No comments:

Post a Comment