Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Jamaa na Nyoka wake

Kaka mmoja alikuwa na nyoka wake anae mfuga siku nyingi, siku moja alikuwa amekaa juu ya mti akipunga upepo na nyoka wake. Bahati mbaya tawi alilokalia likakatika.
Sasa wakati anaporomoka amakuambia nyoka wake "nidake... nidake"
Nyoka wake akanijibu "nikudakaje sasa mi nna mikono?"

No comments:

Post a Comment