Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 18, 2010

Godoro la kisasa...

Jamaa mmoja alimuagiza ndugu yake amletee godoro lenye maji ndani maana alichoka kulala kwenye magodoro tuiliyoyazoea wengi ya sponch.

Baada ya wiki kadhaa yule ndugu yake akamtaharifu ndugu yake aliepo Tz alieagiza godoro ''ndugu yangu godoro nimekosa labda mpaka mwezi ujao, kwa wakati huu we kalale kwenye swimming pool na shuka lako.''

No comments:

Post a Comment