Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 18, 2010

Chini kidooogo.

Jamaa mmoja alikua uongo jadi yake, siku moja wakati yupo ulaya akawa anawasimulia kuhusu Afrika wazungu fulani aliokua nao.
Akawa anawaambia kuwa mawingu ya huku Afrika yapo juu sana kuliko Ulaya.

Mzungu mmoja akawa anabisha hapana haiwezekani basi jamaa akasema ''basi chini kidoogo''

Pembezoni kulikuwa na m-kenya ili kumuonyesha kuwa amemstukia kuwa muongo nae akatoa kibomu chake ''kwetu sisi wanawake wanazaa kupitia kitovu''
Jamaa: Aaaa! Haiwezekani.
M-ghana akamjibu: Basi chini kidoogo.

No comments:

Post a Comment