Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Siku mbili kabla...

Msichana akimuambia mama yake kwenye simu, 'mama... mama mkwe amenunua gauni kama lako utalovaa kwenye harusi yangu.'

Mama: Usijali ntanunua lingine.
Msichana: Lakini mama sa si umetumia gharama halafu usilivae?
Mama: Ntalivaa siku ya rehearsal dinner.

No comments:

Post a Comment