Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Ubungo

Mzee mmoja aliendesha gari yake toka mkoani mpaka Dar es Salaam. Alipofika jijini akaenda na gari yake mpaka ubungo - standi ya mabasi ya mkoani. Akaipaki gari yake, kisha akapanda taxi.
''kichwani akijua kua magari toka mikoani hayaruhusiwi kutembea Dar''

No comments:

Post a Comment