Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 21, 2010

Dokta wa meno

Dokta wa meno alimuuliza mgonjwa wake.
Dokta: Unaweza kunisaidia?
Mgonjwa: Kwa lepi dokta?
Dokta: Umeona hiyo foleni ya wagonjwa hapo nje? Nataka upige kelele za juu za maumivu mpaka wasikie...
Mgonjwa: Kwa nini?
Dokta: Nna kipindi saa nne asubuhi DStv sitaki kukikosa.

No comments:

Post a Comment