Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 25, 2010

Fumanizi

Mwanamke mmoja wakati yupo na kibwana cha nje. Ghafla mumewe akarudi. Hivyo akamua kumpaka unga yule bwana wa nje. Halafu akamwambia agande kama sanamu.

Mume alipoingia akauliza, ''hii sanamu ya uchu umeitoa wapi?'' mke akajibu 'nimeletewa na rafiki yangu.'
Mume akauliza tena, 'mbona naniliu yake kama ina...' (huku akinama kuichungulia)
ndipo jamaa (sanamu akasema) ''oya tuheshmiane''

No comments:

Post a Comment