Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Changudoa

Polisi wawili walitibuka siku hiyo wakaanza kamata kamata vyangudoa wanaouza miili yao kwa ngono. Walipofika kwa mmoja wao akawajibu hivi "mimi siuzi ngono... nauza kondom na naruhusu majaribio kwa atakaenunua kila kondom"

No comments:

Post a Comment