Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 26, 2010

Mama kujifungua

Dokta mmoja alipata dharura. Akaenda alipopigiwa simu, kufika akakuta mama mjamzito akikaribia kujifungua.

Hapakuwa na mtu hapo nyumbani zaidi ya huyo mama na mtoto, na umeme ulikatika. Dokta wakati anashughulika kuzalisha akamuomba yule mtoto wa miaka 6 amsaidie kumulika na tochi.

Baada ya mama kujifungua dokta akamuuliza mtoto, ''unasemaje kuhusu mtoto?''
Kale katoto ka miaka 6 kakajibu, ''mfinye akome, aliingia kufanya nini humo?''

No comments:

Post a Comment