Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Nido

Mtoto mmoja alizoea sana chai ya maziwa ya unga jioni. Siku moja yalikuwa yameisha wakati alipotaka chai.

Aliambiwa yameisha wala hakuelewa somo, akauliza 'kwani mama yupo wapi?'
Wakamuambia anamnyonyesha mdogo wake.

Mtoto akaenda kwa mama yake, 'mama naomba nikamulie na mimi kidogo nikayaanike nje ninywe chai.'

No comments:

Post a Comment