Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 27, 2010

Juice

Kijana mmoja alitengeneza juice ya mananasi. Alipomaliza kuitengeneza akagundua kuwa maji aliyotumia hakuyachemsha. Akawasha jiko na kuiweka juice yote kwenye sufuria na kuanza kuichemsha.

No comments:

Post a Comment