Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Vivulana viwili

Vivulana viwili vilienda kando kando mwa mto. Mara wakamuona wanamke uchi akioga. Mmoja akakimbia kwenda kujificha. Mwenzake akamuuliza 'unakimbia nini?'

Akamjibu, 'mama aliniambia nikimuona mwanamke uchi ntageuka jiwe na nilishaanza sikia kitu kigumu mwilini mwangu.'

No comments:

Post a Comment