Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 27, 2010

Iki...

Mtoto mmoja alikua akimsikia baba yake usiku mara kwa mara akimwambia mama yake, ''ikisimama panda''

Siku moja akamuuliza mama yake, ''mama humu ndani kwetu kuna daladala usiku? Nasikiaga baba anakuambiaga ikisimama panda.''

No comments:

Post a Comment