Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Mlango dirisha

...alilewa mno, kufika kwake akajisachi mno funguo bila mafanikio ya kuuona.

Akaamua kufanya utundu akaingilia dirishani. Alipofika ndani akaiona funguo ilikuwa kwenye mfuko wa koti.
Si akatoka tena nje kupitia dirishani akaenda mlangoni kufungua na kuingia.

No comments:

Post a Comment