Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 18, 2010

Gesti hausi

Jamaa mmoja alienda wilaya fulani, nyumba ya kulala wageni aliyofikia aliikuta bado haijafungwa umeme (ikimaanisha wilaya husika haina umeme bado).

Alipoingia chumbani akaikuta kandiri (taa ya chemli) ndipo alipomuuliza mhudumu baada ya kuona kioo chake kimejaa rangi nyeusi ya moshi uliogandia.

''Dada hii kandiri ndio dizaini yake kuwa na tinted au?'' (toka lini taa ya chemli ikawa na tinted?).

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment