Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Talaka

Mwanamke mmoja alienda kwa mwanasheria kwa lengo la kutaka talaka.

M'sheri: Nikusaidie nini?
M'ke: Nahitaji talaka.
M'sheria: Kwa kigezo gani?
M'ke: Sidhani mume kama wangu ndio baba wa mtoto wangu.

No comments:

Post a Comment