Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Harusi

Siku ya harusi bibi harusi alipofika kanisani akiwa ameshavalia gauni la harusi nk, kidogo anamuona mumewe mtarajiwa anatoka na bibi harusi mwingine amevaa kama yeye wakiwa tayari wamefunga ndoa. Bibi harusi wa kwanza akabaki kwenye mshangao asielewe kinachoendelea, ndipo mumewe mtarajiwa akamuuliza huyu wa awali, "Hukupata e-mail yangu?"

No comments:

Post a Comment