Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Chooni

Jamaa mmoja aliingia chooni (cha kike) ni choo cha kukaa na akukuta kakuta kuna karatasi kimeandikwa kaa chini ukojoe. Na yeye si akakaa chini kwenye sakafu kisha akanza kukojoa akilenga tundu la choo cha kukaa "huku akisema sasa haya masharti gani jamani kha!!?"

No comments:

Post a Comment