Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Kung'oa jino

Jamaa mmoja alienda kung'oa jino. Dokta akamuambia 'lakini nimeishiwa ganzi!'
Kwa vile jamaa jino lilikuwa linamuuma sana akasema, ''bwana ningoe ivo ivo mi silali usiku kabisa.'

Basi dokta akafanya vitu vyake. Baada ya kumaliza akamuambia jamaa ''oh, pole na maumivu, kibaya zaidi nimeng'oa jino silo.'

No comments:

Post a Comment